Friday, May 24, 2013

Maadhimisho ya Miaka 50 ya OAU Dar es salaam, Tanzania

Mheshimiwa Waziri Bernard Kamillius Membe akiwasha mwenge wa maadhimisho ya miaka 50
ya Umoja wa Afrika

Dar es salaam, Tanzania 



Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, leo ameongoza Watanzania na Jumuiya ya Mabalozi wa Afrika walioko nchini kuadhimisha
miaka 50 ya OAU/ AU. 

Maadhimisho hayo yameanza kwa kuwasha mwenge na kufuatiwa na maandamano kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa yaliyohitimishwa kwenye Ukumbi wa Karimjee.

Sambamba na maandamano hayo, kumefanyika mhadhara wa wazi kwenye ukumbi wa Karimjee uliojadili Umajumui(pan-africanism), mwamko mpya wa Afrika ( African Renainsence) na ushiriki wa Tanzania katika ukombozi wa Bara la Afrika. 

Katika hotuba yake, Waziri Membe amesifu mafanikio ya OAU kuwa ni kuwaunganisha waafrika na ukombozi wa bara la Afrika kutoka kwa wakoloni. Afrika imebaki na deni
moja la Sahara Magharibi ambapo Tanzania inaendelea kuhimiza juu ya haki yao ya kujitawala na kufuatilia kwa karibu mazungumzo yanayoendelea.

Aidha amezungumzia mafanikio katika kujenga demokrasia barani Afrika. Amesema leo karibu nchi zote za Afrika zinafanya chaguzi ikilinganishwa na miaka 30 iliyopita
ambapo kulitokea mapinduzi katika nchi 32. 

AU imevunja mwiko wa kuchelea kuingilia masuala ya ndani ya nchi pale demokrasia na haki za binadamu zinaposiginwa. AU imepitisha Azimio la Kutotambua Serikali zinazoingia kwa mapinduzi. Ni kwa sababu hizo, Tanzania na nchi marafiki ziko DRC kudhibiti vikundi vya waasi na kulinda
amani na haki za binadamu.

Mhe Waziri amepongeza jitihada za AU katika kutatua migogoro ya Afrika pamoja na changamoto inazokumbana nazo. Ameitaka dunia kuiunga mkono AU na kuisaidia bila
kuiingilia katika majukumu yake. 

Amemalizia kwa kuhimiza umuhimu wa Afrika kujikomboa kiuchumi kwa kujenga miundombinu na kukuza biashara miongoni mwa nchi za kiafrika. Amehimiza umuhimu wa
kuimarisha jumuiya za kikanda ili kujenga uchumi imara.

Maandamano yakipokelewa kwenye Viwanja vya Karimjee

Mheshimiwa Waziri na Mabalozi wakiimba wimbo wa AU na wimbo wa Taifa

Mheshimiwa Waziri Membe akiwasilisha hotuba yake ya ufunguzi.

Sehemu ya Wahudhuriaji wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya AU ndani ya ukumbi wa Karimjee



Maadhimisho ya Miaka 50 ya OAU Washington DC












Thursday, March 21, 2013

Leadership Wisconsin Fellows visits Tanzania Embassy in Washington DC


Members of the 15th group of the prestigious, internationally respected and the only statewide, leadership development program in Wisconsin USA, visited the Embassy of Tanzania in Washington D.C. today March 21, 2013 in preparation for their International leadership seminar tour in Tanzania spring of 2014.

This is the first time that the fellows from this Award-winning program with cutting edge curriculum internally recognized as a model for community leadership programs, will travel to Africa and to Tanzania as part of their curriculum. 

The Embassy orient this group of 26 members of the Leadership Wisconsin in areas of cooperation between the Tanzania and United States and provided specific information in the two regions that they will tour while in Tanzania, Dar es salaam and Arusha.

Since members of the program come from a wide variety of backgrounds and Wisconsin communities, their international seminar in Tanzania will focus on agricultural sector initiatives in the country as well as the regional administration and local government structures. 

This year's fellows chose to go to Tanzania after learning about several initiatives by different organizations that already exist from the Mid-Western part of the United States in Tanzania. 

At the Embassy the fellows were also informed about the sister-city relations that exist between the Cities of Morogoro in Tanzania and Milwaukee of Wisconsin, the tour of Tanzanian Ambassador in the State of Wisconsin seeking for possible partnerships of the state with Tanzania in the areas of education, trade, investment and agriculture. 

Sarah Schlosser, the Executive Director of Leadership Wisconsin said this year's participants include individuals in business, education, social service, religion, nonprofits and government. 

Through a range of educational strategies fellows are exposed to people, ideas, and issues they would not otherwise encounter. A combination of real world learning experiences, classroom activities, and field experiences, are organized into a series of practical seminars over a two-year period. Fellows meet and network with over 400 resource people from varied disciplines and professions annually through partnerships with the University of Wisconsin System, business and community leaders. 
Previously the fellows have been in Russia, Jamaica, China, Brazil, Poland, Mexico, Hungary, Turkey, Thailand, Vietnam, Australia, Chile, Argentina and India. 
The group experts to travel to Tanzania March 2014. 
The Fellows of Group Xv of Leadership Wisconsin Program 2013

Mindi Kasiga, Minister Counselor Embassy of Tanzania introduces Ag. Ambassador Lilly Munanka to the group shortly after arriving at the Embassy in D.C.
Ag. Ambassador Lilly Munanka listening to introductions just before their orientation started at the Embassy, March 21 2013.

Executive Director of Leadership Wisconsin Sarah Schlosser explains the model of the Program to the Ag. Ambassador Lilly Munanka (not in the picture) during the group's visit at the Embassy. 

Minister Counselor at the Embassy explain the material from the information kit that each follow received from the Embassy, including a luggage tag from the embassy as they prepare for their trip to Tanzania.
Fellows studying their information materials
Minister Counselor concluding the orientation for the XV Leadership Wisconsin fellows at the Embassy of Tanzania in D.C
William Parke-Sutherland handing over a token of appreciation to their host after the completion of the group's orientation at the Embassy.



Minister Counselor responsible for Education Desk receiving a signature Wisconsin Cheese from William Sutherland on behalf of their group together with a Leadership Wisconsin tote and a certificate of appreciation.









A group picture of the Fellows with Embassy Officials Mindi Kasiga and Mugendi Zoka (first from left), who participated at their two hours orientation at the Embassy ahead of their Tanzania visit spring of 2014.




In addition to the orientation the group also viewed the photos of the famous Laetholi footprint and culture of Tanzania.